News and Events Change View → Listing

MHESHIMIWA AGNES RICHARD KAYOLA, BALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, LILONGWE MALAWI AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA MALAWI (UNIMA)

Tarehe 20 Mei 2026, Mhe.Agnes Richard Kayola, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Malawi alitembelea Chuo Kikuu cha Malawi (UNIMA) na kufanya mazungumzo na Makamu Mkuu wa Chuo hicho…

Read More

MAKATIBU WAKUU SADC WAKUTANA SALIMA, MALAWI KUJADILI HALIN YA SIASA NA DIPLOMASIA KATIKA KANDA

Mkutano wa Nne wa Kamati ya Siasa na Diplomasia ya SADC (ISPDC) ngazi ya Makatibu Wakuu wa Wizara za Mambo ya Nje umeanza rasmi tarehe 28 Aprili 2026 mjini Salima, Malawi, Mkutano huo wa siku mbili unajadili…

Read More