MAKATIBU WAKUU SADC WAKUTANA SALIMA, MALAWI KUJADILI HALIN YA SIASA NA DIPLOMASIA KATIKA KANDA
Mkutano wa Nne wa Kamati ya Siasa na Diplomasia ya SADC (ISPDC) ngazi ya Makatibu Wakuu wa Wizara za Mambo ya Nje umeanza rasmi tarehe 28 Aprili 2026 mjini Salima, Malawi, Mkutano huo wa siku mbili unajadili ajenda mbalimbali… Read More






