Recent News and Updates
BALOZI KAYOLA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU TAKUKURU
Tarehe 21 Juni, 2026 Balozi wa Tanzania nchini Malawi Mhe. Agnes Kayola, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bw. Crispin Francis Chalamila jijini Lilongwe,… Read More
MHE. AGNES RICHARD KAYOLA, BALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA JAMHURI YA MALAWI, AFANYA MAZUNGUMZO YA KIMKAKATI NA DKT. ALBERT KOMBA
Mnamo tarehe 10 Juni 2026, Mhe. Agnes Richard Kayola, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Malawi, alifanya mazungumzo ya kimkakati na Dkt. Albert Komba, Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika wa Shirika la… Read More







